MWANAMKE MAKINI BLOG

Advertise Here

Friday 21 November 2014

MASAI UTALII COLAGE TANGA FURSA MPYA YA AJIRA KWA VIJANA

Wahitmu wa chuo cha Masai Utalii Collage wakiingia kwenye ukumbi wa sherehe ya kuagwa kwao lao
Meza kuu, kutoka katikati mwenye miwani ni Katibu Tawala wilaya ya Tanga Bernad Patric aliyekuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya ii chuo cha Masai Utalii Collage, Tanga

Tarumbeta nao walikuwepo kutoa burudani ya aina yake

Master of Ceremony (MC) Godwin Henry Lyakurwa akifanya yake katika mahafaali hayo

Wanaobaki wakifikisha ujumbe wao wa masikitiko kwa njia ya uimbaji
Mkuu wa Chuo cha Masai Utalii Colaage akisoma historia ya chuo hicho chanye mafanikio ya hali ya juu, kwa wanafunzi wake 70% kuajiriwa wakati wa mazoezi ya vitendo
Wahitimu wakipanda jukwaani kuwaaga wadogo zao kwa wimbo
Hawa nao walikuwepo kusherehesha.
Mgeni rasmi DAS Patric akikabidhi cheti kwa mmoja ya wahitimu

Zoezi la utoaji vyeti likiendelea

No comments:

Post a Comment