MWANAMKE MAKINI BLOG

Advertise Here

Sunday 26 October 2014

SIMBA SC YASIMAMISHA VIUNGO WATATU


Amiri Kiemba akifanya yeke.

KLABU ya Simba SC imewasimamisha wachezaji wake watatu kutokana na kile ninachodhaniwa wachezaji hao kuwa sehemu ya klabu hiyo kufanya vibaya,

Wachezaji waliosimamishwa ni viungo Amri Kiemba,Shabani Kisiga na Haruna Chanongo,hapo jana jijini Mbeya  Simba ililazimishwa sare ya tano msimu huu na Prisons.

Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya klabu hiyo kinasema pia benchi la ufundi limepewa changamoto ya kuakikisha timu hiyo inakusanya pointi tisa  kutoka kwenye michezo mitatu inafuata kama ikishindikana basi benchi Zima la ufundi nalo litapigwa chini.

No comments:

Post a Comment