MWANAMKE MAKINI BLOG

Advertise Here

Sunday 19 October 2014

MISS TANZANIA HATUWEZI KUKWEPA HII AIBU

  • Kama kigezo cha umri ni miaka 18-24, huu ni zaidi ya 'UPUUZI'
    Leseni ya Udereva ya Miss Tanzania 2014 Sitti Abbasi Mtemvu
 UKIACHILIA mbali muonekano, baadhi ya watu walisema kuwa ukifuata “utaratibu wa mfumo wa elimu Bongo, Sitti alipaswa angalau awe na umri wa miaka 23, hata kama madai ya kurushwa madarasa ni sahihi”.
“Yaani angeanza darasa la kwanza akiwa na miaka saba, angesoma shule ya msingi kwa miaka saba, sekondari miaka minne, kidato cha tano na sita miaka miwili na chuo miaka mitatu, jumla angekuwa na umri wa miaka 23 kwa sasa ambayo ni pungufu ya miaka 25 iliyotajwa kwenye wasifu wake mtandaoni huko nchini Marekani”. 

Maelezo ya dingi
“Kuhusu masters mnakosea, mwanangu hana masters, ana bachelor, nilimshauri achukue masters lakini akaomba nimuache ashiriki kwanza mashindano ya u-miss ndiyo aje aendelee baadaye,” alisema mheshimiwa huyo.

Pasipoti ya Kusafiria ya Miss Tanzania 2014 Sitti Abbasi Mtemvu

No comments:

Post a Comment