MWANAMKE MAKINI BLOG

Advertise Here

Thursday 11 December 2014

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NCHINI TANZANIA IMEANZA KAZI YA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU


TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania imeanza kazi ya kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura.
 
Katika maboresho hayo, tume imeanzisha mfumo wa kuchukua au kupima taarifa za mwili au tabia ya mtu ujulikanayo kama Biometric Voter Registration, BVR na kuzihifadhi kwenye data base za tume hiyo.

Vyama vya siasa na wadau wengine wa masuala ya uchaguzi wamekuwa wakitaka pawe na mfumo utakaosaidia kuondoa udanganyifu unaosababisha uchaguzi kutokuwa huru na wa haki.

No comments:

Post a Comment