MWANAMKE MAKINI BLOG

Advertise Here

Friday 5 December 2014

DESEMBA 6 NI MKONGE DAY, WANANCHI WASHAURIA KUPANDA KWA WINGI



·  WAKULIMA nchini wameshauriwa kulima zao la mkonge kutokana na faida zake na linastaimili ukame kwa muda mrefu tofauti na mazao mengine.

Hayo ameyasema mwenyekiti wa kamati ya uwamasishaji wa chama cha wakulima wa Mkonge Tanzania Lai Nkuma katika mkutano wa sita wa maandalizi ya  mkonge  day  yanayo tarajiwa kufanyika siku ya jumamosi  ya tarehe sita ya mwezi huu katika viwanja vya Tangamano jijini hapa
 
Hata hivyo dhumuni kubwa la  siku ya Mkonge  ni fursa ya kukutanisha wadau wote wa mkonge na  viongozi wa serikali pamoja na mambo mengine kuzungumzia maendeleo ya zao hilo la mkonge.

MAAJABU YA ZAO LA MKONGE! NA UBORA WA BIDHAA ZAKE





 

No comments:

Post a Comment